Mkutano wa Chadema kwenye utambulisho rasmi wa Katibu Mkuu Mwanza…(+Pichaz)

Kwa mara ya kwanza March 13, 2016 Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji ameonekana rasmi kwa wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa furahisha, viongozi wa kitaifa wa Chadema pamoja na baadhi ya Wabunge kutoka Chadema walikuwepo kuushuhudia utambulisho rasmi wa Katibu Mkuu wao kwa wananchi. ripota wamillardayo.com kazipata picha kwenye huo utambulisho karibu kuzitazama.
Image00002
Image00018
Mwenyekiti Chadema Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Vicent Mashinji
Image00008
Aliyekuwa mgombea Urais Edward Lowassa
Image00016
Kutoka kulia Makamu Mwenyekiti  Chadema Zanzibar Said Issa Mohamed, Mh Edward Lowassa na Tundu Lissu
Image00009
Image00003
Image00005
Mbunge wa Mikumi Joseph Haule
Image00013
Mbunge wa Bunda Ester Bulaya
Image00014
Katibu Mkuu wa Chadema Vicent Mashinji na Ezekia Wenje
Image00010
Image00023
Godbless Lema Mbunge wa Arusha mjini
Image00027
Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini, kwenye Burudani
Image00025
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari
Image00020
Image00019
Mh Mbowe na Ezekia Wenje
Image00011
Mh Edward Lowassa, Akazungumza na wakazi wa Mwanza
Image00007
Joseph Haule ( Prof. Jay), akasema na watu wake kwa Burudani
Image00021
Image00028
Image00004
Image00026
Image00012
Viongozi wa Chadema Kitaifa
Image00006
You might also like:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni