Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  baada ya kupokea tuzo za wasanii wa
 filamu nchini walizoshinda nchini Nigeria. Wasanii hao ni Elizabeth 
Michael na Single Mtambalike. Shughuli hiyo ilifanyika Ofisini kwa 
Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Wasanii wa filamu Elizabeth Michael na Single Mtambalike baada ya kupokea tuzo za wasanii hao walizoshinda nchini Nigeria. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea Tuzo kutoka kwa Msanii wa filamu Elizabeth Michael ambayo msanii huyo alishinda nchini Nigearia. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kasim Majaliwa akipokea tuzo kutoka kwa msanii wa filamu, Single 
Mtambalike ambayo  msanii huyo  alishinda nchini Nigeria. Tukio hilo 
lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Wasanii wa filamu Elizabeth Michael na Single Mtambalike baada ya kupokea tuzo za wasanii hao walizoshinda nchini Nigeria. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea Tuzo kutoka kwa Msanii wa filamu Elizabeth Michael ambayo msanii huyo alishinda nchini Nigearia. Tukio hilo lilifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni