Mbunge mteule wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha 
Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ), Mh Joshua Nasari akiwasalimia 
wafuasi wa chama chake na wananchi kwa ujumla muda mfupi tu baada ya 
kutangazwa kushinda nafasi ya ubunge wa jimbo hilo na Mkurugenzi wa 
uchaguzi, Damari Mchome. Mh Nasari amepata jumla ya kura 86,694
Ulinzi ukiwa umeimarishwa
Ulinzi ukiwa umeimarishwa




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni