MH JOSHUA NASARI ATANGAZWA MSHINDI WA UBUNGE JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI

Mbunge mteule wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ), Mh Joshua Nasari akiwasalimia wafuasi wa chama chake na wananchi kwa ujumla muda mfupi tu baada ya kutangazwa kushinda nafasi ya ubunge wa jimbo hilo na Mkurugenzi wa uchaguzi, Damari Mchome. Mh Nasari amepata jumla ya kura 86,694
                                                                                      Ulinzi ukiwa umeimarishwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni