TETEMEKO LAUWA WATU 150 WENGI WAKIWA NI KUTOKA PAKISTANI

Zaidi ya watu 150 wamekufa wengi wao wakiwa ni nchini Pakistan baada ya tetemeko lenye kipimo cha alama 7.5 kulikumba eneo la kaskazini mashariki mwa Afghanistan.

Mtetemeko wa tetemeko hilo pia umefikia kaskazini mwa nchi za India na Tajikistan.

Watu wapatao 12 waliokufa ni wanafunzi wa kike nchini Afghanistan walioangukiwa na jengo wakijaribu kutoka nje ya jengo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni