Wanannchi wakihakiki majina yao katika kituo chao cha kupigia kura.
Jaji
 S.K. Mutungi akipata maelekezo jinsi ya kukunja karatasi za kupigia 
kura kutoka kwa Bw. Franco Mololo Mwakabuta ambaye ni msimamizi Mkuu wa 
Kituo namba 2 cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge.
Jaji Mutungi akiwa kwenye chumba cha kupiga kura.
Msajili
 wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji S.K. Mutungi akipiga kura kwa ajili ya 
kuchagua viongozi wa ngazi za ubunge na udiwani katika kituo cha kupigia
 kura cha shule ya Msingi Bunge mapema Asubuhi Leo Octoba 2015.
 Bw. Themistocles Justinian ambaye ni Msiamamizi  Msaidizi
 wa Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge akiweka alama 
katika kidole cha  Jaji Mutungi kushiria tayari amekwisha kupiga kura.
  Baadhi ya wananchi wakihakiki majina yao kwa ajili ya kupiga kura
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni