MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA APIGA KURA

Wanannchi wakihakiki majina yao katika kituo chao cha kupigia kura.
Jaji S.K. Mutungi akipata maelekezo jinsi ya kukunja karatasi za kupigia kura kutoka kwa Bw. Franco Mololo Mwakabuta ambaye ni msimamizi Mkuu wa Kituo namba 2 cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge.
Jaji Mutungi akiwa kwenye chumba cha kupiga kura.
Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji S.K. Mutungi akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa ngazi za ubunge na udiwani katika kituo cha kupigia kura cha shule ya Msingi Bunge mapema Asubuhi Leo Octoba 2015.
 Bw. Themistocles Justinian ambaye ni Msiamamizi  Msaidizi wa Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge akiweka alama katika kidole cha  Jaji Mutungi kushiria tayari amekwisha kupiga kura.
  Baadhi ya wananchi wakihakiki majina yao kwa ajili ya kupiga kura

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni