Katibu
 mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole 
Gabriel(wa pili kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya  pamoja na 
ujumbe wa maziwa makuu ambao upo nchini ukiangalia ushiriki wa vijana 
katika uchaguzi mkuu wa Tanzania.Wengine kwenye picha ni  Balozi wa 
maziwa makuu nchini Kenya katika wizara ya mambo ya nje,Muburi Muita(wa 
kwanza Kushoto waliokaa) na Nancy kaizilege wa Umoja wa mataifa 
Tanzania.(wa kwanza kulia waliokaa).
Balozi
 wa maziwa makuu nchini Kenya katika wizara ya mambo ya nje,Muburi 
Muita(aliyenyoosha mikono) akiongea na Katibu mkuu wizara ya 
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel wakati 
alipomtembelea ofisini kwake na ujumbe wa kutoka eneo la maziwa 
makuu(ICGLR) waliokuja kuangalia ushiriki wa vijana katika uchaguzi mkuu
 wa Tanzania na kuelezea kufurahishwa na ushiriki wa vijana wengi katika
 uchaguzi huu na kwamba uchaguzi ulikuwa wa Amani na mafanikio 
makubwa.Ujumbe huo unajumuisha nchi za Zambia,Burundi,Kenya,Congo,Uganda na Sudan
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni