WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA AMANI NA UTULIVU VITUO VYA NZASA,KENTONI, USTAWI WA JAMII NA MPAKANI 'A' KIJITONYAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

                         Mmoja wa wakazi wa Kijitonyama mpakani akipiga Kura yake
                                                        KITUO CHA KUPIGIA KURA NZASA
             Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Nzasa wakiwa wanangoja kupiga Kura
                                                   Bado wakazi wa Nzasa wanangoja kupiga Kura
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao ili kujua wanatakiwa wakae sehemu gani kabla ya kupiga kura
                                                       Ulinzi pia ukiwa umeimarishwa hali ni Shwari
                                                Leo shughuli zimesimama kupisha uchaguzi mkuu
                                                              KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA KENTON
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao kabla ya kuingia kwa ajili ya kupiga Kura 2015
                                                           Watu mbalimbali wakingojea kupiga Kura
                                              KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA USTAWI WA JAMII
Hapa ni Chuo cha Ustawi wa Jamii ambapo pia kuna watu wamejitokeza kwa wingi kupiga Kura
                   Mmoja ya wazee akiwa anasaidiwa kutembea kwenda kupiga Kura
                        KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA MPAKANI A KIJITONYAMA
Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika kituo hiki cha Mpakani Kijitonyama
                                                                                   Kazi zikiwa zinaendelea
Mmoja ya akinamama akiwa anapigia tiki viongozi ambao anawataka

Picha zote na Fredy Njeje-Blogs za Mikoa Tanzania

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni