Mgombea
 Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia 
wananchi wakati akiwasili kwenye viwanja wa Indian Ocean, kulikofanyika 
Mkutano wa Kampeni, Oktoba 21, 2015.
Mgombea
 Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwahutubia 
wananchi wa jiji la Tanga waliofurika katika viwanja wa Indian Ocean, 
katika Mkutano wa Kampeni,Oktoba 21, 2015. 
Waziri Mkuu wa zamani, Mh. Fredrick Sumaye, akiwahutubia wananchi wa jiji la Tanga waliofurika katika viwanja wa 
Indian Ocean, katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, Oktoba 21, 2015. 
Mgombea
 Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, 
akimnadi kwa wananchi, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga Mjini kwa tiketi
 ya Chama cha Wananchi CUF, Mussa Bakar Mbarouk, wakati wa Mkutano wa 
Kampeni, uliofanyika kwenye viwanja vya 
Indian Ocean, Jijini Tanga, Oktoba 21, 2015. 
Mgombea
 Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, 
akiwanandi kwa wananchi, Wagombea wa nafasi ya Udiwani, Jijini Tanga.























Hakuna maoni:
Chapisha Maoni