BILIONEA JAMES PACKER AMEFUNGUA CASINO LA KIFAHARI MACAU

Bilionea James Packer amefungua jengo jipya ya kifahari la dola bilioni 3.2 la Casino lijulikanalo kama Studio City huko Macau.

Casino hiyo imefunguliwa kwa msaada wa nyota wa filamu ya A-Listers Robert De Niro, Leonardo DiCaprio pamoja na Martin Scorsese.

Pia mpezi wa Packer mwanamuziki Mariah Carey alikuwepo ufunguzi wa jengo hilo la kifahari lenye vyumba 1,600 likiwa na bwawa la kuogelea. 
                               Muonekano wa bwawa la kuogelea katika jengo hilo la casino
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni