Mgombea 
Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiongea na 
wananchi wa Ruaha katika viwanja vya Tem K2 Ruaha leo Ijumaa 23/10/2015
Mgombea 
ubunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule akimueleza matatizo ya Mikumi 
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa pamoja
 na kuzungumza na wananchi waliofika katika viwanja vya Tem k2, leo 
Ijumaa 23 Oktoba 2015
                                                            Wananchi wakishangilia katika mkutano huo
Mgombea 
Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa pamoja na Mhe. 
Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha, leo Ijumaa 
23/10/2015. Kwa hisani ya ZanziNews 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni