Askari
 wa jeshi la polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwa wameimarisha 
ulinzi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro 
wakati wafuasi wa vyama mbalimbali wakisubiri kutangaziwa matokeo.
Wafuasi wa vyama mbalimbali vilivyoshiriki uchaguzi mkuu hapo jana, wakiwa mtaani mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakisubiri kutangaziwa matokeo.
Hali hali ilivyo mjini Moshi asubuhi ya leo
Wafuasi wa vyama mbalimbali vilivyoshiriki uchaguzi mkuu hapo jana, wakiwa mtaani mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakisubiri kutangaziwa matokeo.
Hali hali ilivyo mjini Moshi asubuhi ya leo





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni