NA MSHINDI WA UBUNGE JIMBO LA MIKUMI NI JOSEPH HAULE ( PROFESA JAY )

                                                                                          Picha kutoka maktaba.

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini , Joseph Haule ( Profesa Jay ) ameshinda kiti cha ubunge jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) . 

Akitangaza matokeo hayo, msimamizi wa uchaguzi huo ambaye ni  Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilosa, Bw Idd Mshiru amesema katika uchaguzi huo, Joseph Haule ( Profesa Jay ) ameshinda baada ya kupata jumla ya kura 32,256.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni