Picha kutoka maktaba.
Mwanamuziki
 mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini , Joseph Haule ( Profesa Jay )
 ameshinda kiti cha ubunge jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya
 Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) . 
Akitangaza
 matokeo hayo, msimamizi wa uchaguzi huo ambaye ni  Mkurugenzi wa 
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa, Bw Idd Mshiru amesema katika uchaguzi 
huo, Joseph Haule ( Profesa Jay ) ameshinda baada ya kupata jumla ya 
kura 32,256.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni