Viongozi
 wa Chama cha CCM wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri 
matokeo ya Kura za Wagombea Urais wa Zanzibar kutangwa na Mwenyekiti wa 
Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha Salim Jecha, Ukumbi wa Salama ndio 
kituo Kikuu cha kutangazia Matokeo ya Kura za Urais wa Zanzibar. 
Waangalizi
 wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama wakisubiri 
kutaja kwa Matokeo ya Urais wa Zanzibar na Tume ya Uchaguzi Zanzibar 
ZEC.
Viongozi wa Chama cha CUF wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangaza kwa Matokeo ya Urais wa Zanzibar. 
Waangalizi
 wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kutoka Nje wakiwa katika Ukumbi wa Salama 
Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar 
mchana huu.
Watu
 Wenye Ulemavu wa kutokisia wakiwa Ukumbi wa Salama Bawani wakipata 
taarifa ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kupitia kwa mkalimani 
wao wa lugha ya ishara wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo.
Mawakala wa Vyama vya Siasa Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
 Waangalizi
 wa Ndani wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakifuatilia kutangazwa kwa 
matokeo ya Wagombea Urais wa Zanzibar. Kwa hisani ya ZanziNews
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni