VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR WAKIWA KATIKA UKUMBI WA SALAMA BWABWANI WAKISUBIRI MATOKEO YA KURA YA URAIS ZANZIBAR

Viongozi wa Chama cha CCM wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri matokeo ya Kura za Wagombea Urais wa Zanzibar kutangwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha Salim Jecha, Ukumbi wa Salama ndio kituo Kikuu cha kutangazia Matokeo ya Kura za Urais wa Zanzibar.
Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama wakisubiri kutaja kwa Matokeo ya Urais wa Zanzibar na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.

Viongozi wa Chama cha CUF wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangaza kwa Matokeo ya Urais wa Zanzibar.
Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kutoka Nje wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar mchana huu.

Watu Wenye Ulemavu wa kutokisia wakiwa Ukumbi wa Salama Bawani wakipata taarifa ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kupitia kwa mkalimani wao wa lugha ya ishara wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo.
Mawakala wa Vyama vya Siasa Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
 Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakifuatilia kutangazwa kwa matokeo ya Wagombea Urais wa Zanzibar. Kwa hisani ya ZanziNews

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni