Waziri
  Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani 
katika kituo cha kupiga kura kilichopo kwenye Ofisi ya Mtendaji wa Kata 
ya Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015.
Mke
 wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa amembeba mototo aliyezaliwa usiku
 wa kuamkia tarehe 25,-10-2015  na kupewa jina la Magufuli katika kituo 
cha Afya cha Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni