Maelfu ya
 wananchi wakiwa wamefurika kwenye Viwanja vya Kibandamaiti, wakati wa 
mkutano wa kufunga kampeni za CCM, uliofanyika leo kwenye Viwanja hivyo 
mjini Zanzibar.
Mgombea 
Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk. Ali Mohammed Shein akisalimiana
 na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu hassan 
baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kufunga kampeni za CCM uliofanyika 
leo kwenye Viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar.
Mgombea 
wa Urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akimsalimia Rais Mstaafu 
Ali Hassan Mwinyi wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za CCM 
uliofanyika kwenye Viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar leo. Wengine 
ni Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais 
Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi na Waziri Kiongozi Mstaafu, Shamsi Vuai 
Nahodha
Mgombea 
Mwenza Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsikiliza 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk. Ali Mohamed Shein, 
katika mkutano wa kufunga kampeni za CCM uliofanyika leo katika viwanja 
vya Kibanda maiti mjini Zanzibar
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni