Mwenyekiti
 wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe. Jesha Salim Jecha akitangaza 
Matokeo ya Kura za Urais za Majimbo mawili ya Fuoni na Kiembesamaki 
Zanzibar.Chama cha Mapinduzi CCM kikiongoza katika majimbo hayo mawili 
ya Uchaguzi Zanzibar. 
Makamishna
 wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia matokeo ya Majimbo mawili ya 
Fuoni na Kiembesamaki yakitangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi 
Zanzibar. katika Ukumbi wa Salama Bwawani Usiku huu.
Makamishna
 wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia matokeo ya Majimbo mawili ya 
Fuoni na Kiembesamaki yakitangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi 
Zanzibar. katika Ukumbi wa Salama Bwawani Usiku huu.
Mawakala wa Vyama vya Siasa Zanzibar wakifuatilia Matokeo ya Kura za Urais za Majimbo Mawili ya Fuoni na Kiembesamaki Zanzibar.
Waandishi
 wa Habari wa Vyombo mbalimbali Zanzibar wakichukuwa sauti ya Mwenyekiti
 wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akitaja matokeo ya Kura za Urais za 
Majimbo ya Fuoni na Kiembesamaki Chama cha Mapinduzi kikiongoza katika 
Majimbo hayo.
Wakifuatilia
 Matokea ya Kura za Urais za Majimbo Mawili Zanzibar ya Kura za Urais ya
 Fuoni na Kiembesamaki Zanzibar yakitajwa katika Ukumbi wa Salama 
Bwawani Usiku huu.  
Mawakala
 wa Vyama Vyama vua Siasa Zanzibar wakifuatilia Matokea ya Kura za Urais
 za Majimbo Mawili ya Uchaguzi ya Kiembesamaki na Fuoni Zanzibar. Kwa 
hisani ya ZanziNews
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni