Said Kubenea ( kushoto ). Picha kutoka maktaba
Mwandishi mahiri wa habari nchini, Saed Kubenea ametangazwa kuwa mshindi wa ubunge katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam. 
Matokeo
 hayo yemetangazwa na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ubungo, Mkurugenzi 
wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty.
Akitangaza
 matokeo hayo, Mhandisi Natty amesema Said Kubenea amepata jumla ya kura
 87,666 huku mpinzani wake wa karibu mgombea wa Chama Cha Mapinduzi, Mh 
Didas Masaburi akipata kura 59,514.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni