SOKO LA HISA LA ASIA LINATARAJIWA KUTOTETEREKA HII LEO

Soko la Hisa la Asia linatarajiwa kutotetereka hii leo baada ya China kukata kiwango cha wastani wa riba zake kwa asilimia 0.25 hadi asilimia 4.35.

Serikali ya China inatarajia kitendo cha kulegeza sera zake za fedha kwa kuifanya fedha rahisi, itasaidia kufikia lengo la asilimi 7, 2015.

Wiki iliyopita China iliripoti ukuaji wa uchumi wake umepungua kwa mwaka wa sita mfululizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni