
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea 
Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya 
Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Damian Lubuva Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na wageni mbalimbali mara baada ya kupokea Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa 
Mwaka 2015 kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji 
Damian Lubuva Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha UDP mzee John Momose Cheyo mara 
baada ya kumaliza kuzungumza na wageni mbalimbali katika tukio la 
upokeaji wa Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Fahmi Dovutwa mara baada ya
 kuhutubia katika tukio la upokeaji wa Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka
 2015
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia 
jambo pamoja na Mwanachama wa Chama cha UDP Goodluck Ole Medeye , 
Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo pamoja na Jaji Mark Bomani Ikulu jijini 
Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu Salim Ahmed Salim mara baada ya 
kuwasili Ikulu kwa ajili ya upokeaji wa Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 
Mwaka 2015 kutoka Tume ya Uchaguzi.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada
 ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya upokeaji wa Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 
Mwaka 2015 kutoka Tume ya taifa ya Uchaguzi(NEC)
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa Serikali,Marais Wastaafu, 
Mawaziri Wakuu Wastaafu, Tume ya Uchaguzi na Mabalozi wa nchi mbalimbali
 mara baada ya kupokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2015 kutoka 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT 
baba Askofu Dkt. Fredrick Shoo mara baada ya kupokea Taarifa ya Uchaguzi
 mkuu wa Mwaka 2015 kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Ikulu jijini 
Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na mwanasiasa mkongwe John Shibuda huku Rais wa Serikali ya
 Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein naye akisalimiana na 
Mwenyekiti wa Chama cha UDP Mzee John Momose Cheyo mara baada ya 
kukamilika kwa tukio la upokeaji wa Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa Mwaka 
2015 kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Baadhi
 ya Wageni na Mabalozi kutoka nchi mbalimbali wakiwa wamesimama wakati 
wimbo wa Taifa ukipigwa kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 Dkt. John Pombe Magufuli kupokea taarifa hiyo ya Uchaguzi kutoka Tume 
ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). PICHA NA IKULU.











Hakuna maoni:
Chapisha Maoni