Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini 
katika Kitabu maalum cha Kampuni ya Jiangsu Jiangdu construction group 
inayojenga Maktaba Mpya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam UD mara baada ya
 kuwasili chuoni hapo.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho 
Kikwete, Makamu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Mukandala, Balozi wa China
 hapa nchini lu you Qing, maafisa wa kampuni ya Kutoka China ya Jiangsu 
Jiangdu wakiweka mchanga kama ishara ya kuweka jiwe la msingi katika 
Maktaba Mpya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam UD mara baada ya kuwasili 
chuoni hapo. Maktaba hiyo itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi 
ya 2000 kwa wakati mmoja.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho 
Kikwete, Makamu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Mukandala, Balozi wa China
 hapa nchini lu you Qing, maafisa wa kampuni ya Kutoka China ya Jiangsu 
Jiangdu wakiweka mchanga kama ishara ya kuweka jiwe la msingi katika 
Maktaba Mpya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam UD mara baada ya kuwasili 
chuoni hapo. Maktaba hiyo itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi 
ya 2000 kwa wakati mmoja.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwahutubia mamia ya jamii ya  wanachuo na wananchi mara baada ya 
kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Maktaba mpya itakayochukua zaidi ya 
wanafunzi 2000 kwa wakati mmoja.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. 
Jakaya Kikwete, Makamu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Mukandala, Balozi 
wa China hapa nchini lu you Qing, Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde 
Warioba na makamu wa Rais katika serikali ya awamu ya nne Mohamed Gharib
 Bilal, Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako na Spika Mstaafu Pius 
Msekwa mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Maktaba hiyo ya 
kisasa.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 jambo na Balozi wa China hapa nchini lu youQing kabla ya kwenda 
kuzungumza na jamii ya  wanachuo kikuu cha Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 jambo na Balozi wa China hapa nchini lu youQing kabla ya kwenda 
kuzungumza na jamii ya  wanachuo kikuu cha Dar es Salaam.
Makamu
 Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akitoa 
maelezo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli   kuhusu ujenzi wa Maktaba hiyo ya kisasa itakayochukua 
wanafunzi zaidi ya 2000 kwa wakati mmoja. Wengine katika picha ni Mkuu 
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Wziri wa 
Elimu Profesa Joyce Ndalichako
Makamu
 Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akitoa 
maelezo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli   kuhusu ujenzi wa Maktaba hiyo ya kisasa itakayochukua 
wanafunzi zaidi ya 2000 kwa wakati mmoja. Wengine katika picha ni Mkuu 
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Wziri wa 
Elimu Profesa Joyce Ndalichako
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akipita 
kwenye mabango ya picha za mfano wa majengo ya Maktaba mpya 
itakayojengwa katika Chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Mkuu
 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
machapisho ya tafiti mbalimbali za madini na mambo mbalimbali ya 
kimaendeleo zilizofanywa na wahadhiri wa chuo hicho mara baada ya 
kuwahutubia.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha 
machapisho hayo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akionesha machapisho hayo.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaagana 
na baadhi ya Wanafunzi pamoja na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es 
Salaam mara baada ya kumaliza kuwahutubia.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaagana 
na Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya kumaliza 
mkutano huo katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Mlimani jijini Dar es 
Salaam. PICHA NA IKULU
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni