WANAKIJIJI WA NAINOKANOKA WILAYANI NGORONGORO WANUFAIKA NA HUDUMA BORA ZA AFYA



 Katibu Mkuu Wizara ya afya,Dr. Mpoki Mwasumbi akizungumza na wananchi wa kijiji cha Inokainoka wilaya Ngorongoro.
 Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Inokainoka wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Afya(hayupo pichani) pamoja na watumishi wengine wa kituo cha afya cha Inokainoka.

Katibu Mkuu Wizara ya afya Dr. Mpoki Mwasumbi akikabidhiwa jokofu linalotumia umeme wa jua bila ya betri na muwakilishi kutoka Clinton Foundation (CHAI) Dr. Esther Mtumbuka kwa matumizi ya uwifadhi wa madawa katika kituo cha afya cha Inokainoka.
Hii ni moja ya jokofu linalotumia umeme wa jua bila yakutumia betri,zinazotolewa  na taasisi ya Clinton Foundation (CHAI) kwa mikoa takribani 15 kwa nchi nzima kwa lengo lakusaidia utuzaji wa madawa kwenye vituo vya afya na Zahanati hususani vijijini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni