Jiwe
 la Msingi la Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi lililowekwa na 
Rais Dk. John Magufuli. Kituo hicho kimefadhiliwa na Benki ya CRDB kwa 
gharama ya zaidi ya shilingi milioni 300. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiteta jambo na
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Esther Kitoka.
Brass Band ya Polisi ikitumbuiza katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi.
Naibu
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni akimsikiliza kwa 
makini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akisalimia na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (wa kili kulia) akifurahia 
jambo na Naibu wake (kulia), IGP,Ernest Mangu, wapili kushoto ni 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisalimia na Rais John Magufuli.
 Rais John Magufuli akisalimia na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Esther Mwambapa.
 Mkurugenzi wa Utawala wa Benki ya CRDB, Beatus Segeja akisalimiana na Rais Dk. John Magufuli
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Esther Kitoka akisalimiana na Rais Dk. John Magufuli.
 Rais John Magufuli akizindua rasmi Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi Dar es Salaam.
 Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.
  Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.
 Wakurugenizi wa Benki ya CRDB wakifuatilia uzinduzi huo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei akitoa hotuba yake.
Rais John Magufuli akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei baada ya kutoa hotuba yake. 
 Rais
 John Magufuli akifurahia jambo wakati akimkabidhi Tuzo ya Ufadhili 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, wakati
 wa uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi, uliofanyika 
katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. 
ambapo benki hiyo imetoa zaidi ya shs. milioni 300. Kushoto ni Waziri wa
 Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. 
 Rais John Magufulia (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikli. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei.

















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni