Msemaji
 wa CCM, Christopher Ole Sendeka akihutubia mkutano wa hadhara 
uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa Garden, Kilwa Masoko 
mkoani Lindi. Sendeka amesema, Wapinzania wanadai kwamba Rais Dk. John 
Magufuli uongozi wake ni wa Kidikteta, wameamua kujaribu hoja hiyo kwa 
kuwa wameishiwa hoja na hata hivyo hoja yao hiyo haiwezi kuwa na mashiko
 kwa Watanzania ambao wanaamini Rais Dk. Magufuli anavyofanya sasa 
kupasua majipu na kupambana na vitendo vya ufiadi, kufuja rasilimali za 
nchi, uzembe na umangimeza ni sahihi. 
 Wananchi
 wakimshangilia Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka alipoingia 
kwenye mkutano wa hadhara uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa 
Garden, Kilwa Masoko mkoani Lindi leo jioni
 Msemaji
 wa CCM, Christopher Ole Sendeka akihutubia mkutano wa hadhara 
uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa Garden, Kilwa Masoko 
mkoani Lindi. Sendeka amesema, Wapinzania wanadai kwamba Rais Dk. John 
Magufuli uongozi wake ni wa Kidikteta, wameamua kujaribu hoja hiyo kwa 
kuwa wameishiwa hoja na hata hivyo hoja yao hiyo haiwezi kuwa na mashiko
 kwa Watanzania ambao wanaamini Rais Dk. Magufuli anavyofanya sasa 
kupasua majipu na kupambana na vitendo vya ufiadi, kufuja rasilimali za 
nchi, uzembe na umangimeza ni sahihi.  
Msemaji
 wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia 
mkutano wa hadhara uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa Garden,
 Kilwa Masoko mkoani Lindi. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni