Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa
 katika foleni na wageni wake kwenda kuchukua chakula wakati wa kufuturu
 katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu
 jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Mwenyekiti
 wa CCM mkoa wa Dar es salaam Ndg. Ramadhani Madabida akifuatiwa na 
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC)  Lusekelo Anthony 'Mzee wa Upako' 
na wagemi wengine wakipakua chakula  katika futari ya pamoja ya viongozi
 mbalimbali wa dini iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
  Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli 
akiongea machache baada ya futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa 
dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Mke
 wa Rais Mama Janeth Magufuli akisaliminia na wageni waliohudhuria  
futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini iliyoandaliwa na Rais 
Magufuli  Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli 
akipongezwa na kaimu Mufti Sheikh Hamid Masoud Jongo baada ya kuongea 
machache  katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini 
aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli 
akisalimiana na Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdallah Mnyasi  katika 
futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini 
Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
 Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli 
akisalimiana na wageni mbalimbali  katika futari ya pamoja ya viongozi 
mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 
14, 2016
 Rais
 wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli 
akisalimiana na Mama Shamim Khan katika futari ya pamoja ya viongozi 
mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 
14, 2016. Kushoto ni Mke wa rais Mama Janeth Magufuli akifuatiwa na Mke 
wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni