WAZIRI UMMY MWALIMU AFUNGUA MKUTANO WA 12 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA AFYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Ummy Mwalimu
Mawaziri pamoja na wajumbe wa mkutano huo wakisikiliza mada zinazotolewa kwenye mkutano wa 12 wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa Afrika Mashariki.
 
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu amefungua mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wenye lengo la kujadili kuhusu maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini Arusha.Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania, Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo.
Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania, Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo. (Picha zote na Wizara ya Afya).Mwenyekiti wa mkutano Waziri Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (katikati) akiwa na Waziri wa Afya toka Uganda (kulia) wakifuatilia mada zinazowasilishwa Kwenye mkutano huo⁠⁠⁠⁠.
Mh. Ummy Mwalimu
Mawaziri wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa pamoja wa majadiliano kuhusu maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini Arusha.
Ummy Mwalimu na wenzake
Baadhi ya mawaziri wa baraza hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyeji wao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni