Waziri
 wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu 
amefungua mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa nchi za Jumuiya ya 
Afrika Mashariki wenye lengo la kujadili kuhusu maendeleo endelevu ya 
kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza na 
yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini Arusha.
Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania, Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo. (Picha zote na Wizara ya Afya).
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (katikati) akiwa na Waziri wa Afya toka Uganda (kulia) wakifuatilia mada zinazowasilishwa Kwenye mkutano huo.
Mawaziri
 wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye picha ya 
pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa pamoja wa majadiliano kuhusu
 maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya 
magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini 
Arusha.
Baadhi ya mawaziri wa baraza hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyeji wao.
Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania, Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo. (Picha zote na Wizara ya Afya).
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (katikati) akiwa na Waziri wa Afya toka Uganda (kulia) wakifuatilia mada zinazowasilishwa Kwenye mkutano huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni