Maelfu ya watu wamekusanyika huko
Orlando Marekani usiku wa jumatatu, kuwakumbuka na kuwaombea watu 49
waliouwawa kwa mashambulizi ya kikatili ya risasi kwenye Klabu ya
Usiku ya Mashoga siku ya jumapili.
  Watu wakiwa wamekumbatiana kwa majonzi wakati wa kuwaomboleza  waliouwawa Orlando
           Vilio vikiwa vimetawala wakati wa kuwaomboleza watu 49 waliouwawa Orlando
                                Hata wanaume walishindwa kujizuia na kumwaga chozi
Watu wakiwa na mishumaa wakiomboleza wenzao waliouwawa kwenye Klabu ya Pulse huko Orlando





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni