Wafanyakazi
 wa Vodacom Tanzania, wakibeba vyakula wakati  wa hafla ya kutoa msaada 
wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi 
 wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania 
Foundation, walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa
 kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa 
Ramadhani.
PICHA NA MPIGAPICHA WETU
 Meneja
 wa Ruzuku na  Mawasiliano wa  Vodacom  Tanzania Foundation, Sandra 
Oswald (wa pili kushoto) akigawa vyakula kwa wanawake waislamu,  wakati 
 wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini 
Bagamoyo jana. Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii
 ya Vodacom  Tanzania Foundation,walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na
 vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya 
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Wakazi
 wa Bagamoyo, Mohamed Ammer Maki (kulia) akifurahia msaada wa vyakula, 
wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu 
mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi  wa Vodacom  Tanzania kupitia  taasisi 
ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walijumuika  na Waislamu wa 
Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali 
kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni