Basi la TAHMEED KUTOKA TANGA KWENDA DAR ES SALAAM LATEKETEA KWA MOTO


index1
Basi la TAHMEED lililokuwa likitoka mkoani Tanga kuelekea jijini Dar es salaam limeungua moto na kuteketea kabisa maeneo ya Kabuku mkoani humo Habari zinasema abiria wote wamenusurika katika tukio hilo baya lakini mizigo na basi lenyewe vimeungua na kuteketea kabisa kwa moto kwa jinsi inavyoonekana katika tukio hilo katika picha inaonekana moto ulianzia mwenye magurudumu ya nyuma upande wa kulia kama inavyoonekana.
(PICHA KWA HISANI YA MITANDAO YA KIJAMII)
index2 
Hapa likionekana limeteketea kabisa  na haikuwezekana kuzima.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni