Basi la TAHMEED lililokuwa 
likitoka mkoani Tanga kuelekea jijini Dar es salaam limeungua moto na 
kuteketea kabisa maeneo ya Kabuku mkoani humo Habari zinasema abiria 
wote wamenusurika katika tukio hilo baya lakini mizigo na basi lenyewe 
vimeungua na kuteketea kabisa kwa moto kwa jinsi inavyoonekana katika 
tukio hilo katika picha inaonekana moto ulianzia mwenye magurudumu ya 
nyuma upande wa kulia kama inavyoonekana.
(PICHA KWA HISANI YA MITANDAO YA KIJAMII)
Hapa likionekana limeteketea kabisa  na haikuwezekana kuzima.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni