Kamanda
 wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP. Ahmed Msangi, akifungua Uzinduzi huo 
ulioandaliwa baina ya OJADACT na wadau wa Ulizi na Usalama, uliofanyika 
katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. 
 
Mwenyekiti
 wa OJADACT. BW. Edwin Soko akitoa maelezo ya awali wakati wa uzinduzi 
wa kampeni ya kuzuia uhalifu, iliyo zinduliwa na chama hicho 
kwakushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama.
Picha zote na Atley Kuni- Msemaji wa OJADACT. Tanzania
Viongozi
 wa dini wakiwa katika kikao, kilicho wahusisha waandishi wa Habari wa 
mkoa wa Mwanza, wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya kuzuia uhalifu mkoa wa 
Mwanza yenye lengo la kupiga vita uhalifu wa aina yoyote katika mkoa wa 
Mwanza ambayo inahusisha wadau mbalimbali pamoja na wananchi katika mkoa
 huo.
Baadhi
 ya Washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni yakupambana na Uhalifu chini ya 
Chama cha kupambana na Uhalifu na dawa za kulevya nchini OJADACTPicha zote na Atley Kuni- Msemaji wa OJADACT. Tanzania
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni