MWANZA YAZINDUA KAMPENI YA KUZUIA UHALIFU

ut6
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP. Ahmed Msangi, akifungua Uzinduzi huo ulioandaliwa baina ya OJADACT na wadau wa Ulizi na Usalama, uliofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
ut1 
Viongozi wa dini wakiwa katika kikao, kilicho wahusisha waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza, wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya kuzuia uhalifu mkoa wa Mwanza yenye lengo la kupiga vita uhalifu wa aina yoyote katika mkoa wa Mwanza ambayo inahusisha wadau mbalimbali pamoja na wananchi katika mkoa huo.
ut2 
Baadhi ya Washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni yakupambana na Uhalifu chini ya Chama cha kupambana na Uhalifu na dawa za kulevya nchini OJADACT
ut3Mwenyekiti wa OJADACT. BW. Edwin Soko akitoa maelezo ya awali wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuzuia uhalifu, iliyo zinduliwa na chama hicho kwakushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama.
ut4Mwenyekiti wa OJADACT, Bw. Edwin Soko, akifafanua jambo wakati wa uzinduzi huo.

                          Picha zote na Atley Kuni- Msemaji wa OJADACT. Tanzania

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni