Katibu
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Korea Song 
Geum-Yung, Ofsni kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba ijini
 Dar es Salaam, leo Juni 15, 2016. (Picha na Bashir Nkoromo). 
 
Mweneyekiti
 wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisalimiana na Msemaji wa CCM, 
Christopher Ole Sendeka alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, 
Lumumba Jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya shughuli zake za kiofisi, leo
 Juni 15, 2016. (Picha na Bashir Nkoromo). 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni