Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na 
Mzungumzaji Mkuu wa Mkutano wa kuwezesha Wanawake Kiuchumi katika 
mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na pacific ACP 
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye mkutano huo uliofanyika leo 
Juni 01,2016 katika kituo cha mikutano cha kimataifa PCC Nchini Papua 
New Guinea. 
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akipongezwa na  Rais Mstaafu wa Nigeria General Olibegan Obasanjo wakati
 Makamu wa Rais alipomaliza kuhutubia Mkutano wa kuwezesha Wanawake 
Kiuchumi kwenye mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na
 pacific ACP uliofanyika leo Juni 01,2016 katika kituo cha mikutano cha 
kimataifa PCC Nchini Papua New Guinea. Makamu wa Rais amemuwakilisha 
Rais Dkt. John Magufuli kwenye Mkutano huo. Katikati Naibu waziri Mkuu 
na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia Mhe. Natumbo Nandi Ndaitwah.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Nigeria General Olibegan Obasanjo 
wakati Makamu wa Rais alipomaliza kuhutubia Mkutano wa kuwezesha 
Wanawake Kiuchumi kwenye mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, 
Caribean na pacific ACP uliofanyika leo Juni 01,2016 katika kituo cha 
mikutano cha kimataifa PCC Nchini Papua New Guinea. Makamu wa Rais 
amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye Mkutano huo. Katikati 
Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia Mhe. Natumbo 
Nandi Ndaitwah.
Rais
 Mstaafu wa Nigeria General Olibegan Obasanjo akimpongeza Makamu wa Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan baada ya 
 kuhutubia Mkutano wa kuwezesha Wanawake Kiuchumi kwenye mkutano wa nane
 kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na pacific ACP uliofanyika leo 
Juni 01,2016 katika kituo cha mikutano cha kimataifa PCC Nchini Papua 
New Guinea. Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye
 mkutano huo.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na 
Mzungumzaji Mkuu wa Mkutano wa kuwezesha Wanawake Kiuchumi katika 
mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na pacific ACP 
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye mkutano huo uliofanyika leo 
Juni 01,2016 katika kituo cha mikutano cha kimataifa PCC Nchini Papua 
New Guinea. Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye
 mkutano huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni