Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akipokea 
taarifa ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, 
Charles Kitwanga kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 
jijini Dar es salaam leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba akizungumza na aliyekuwa
 Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga (kushoto) pamoja na Watendaji 
Wakuu wa Wizara hiyo, kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 
jijini Dar es salaam leo, mara baada ya Wizara Mwigulu kupokea taarifa 
ya makabidhiano.  Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto meza kuu) 
akimsikiliza aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga alipokuwa
 anazungumza na Waziri huyo pamoja na Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo, 
kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es salaam 
leo, mara baada ya Wizara Mwigulu kupokea taarifa ya makabidhiano 
ofisini humo.  Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akimsikiliza 
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wa pili 
kulia) alipokuwa anazungumza kabla ya aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, 
Charles Kitwanga (wa tatu kulia) kukabidhi ofisi kwa Waziri Mwigulu. 
Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya.  Picha na Wizara ya 
Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akimsikiliza 
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira (kulia) mara
 baada ya aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga (katikati) 
kukabidhi ofisi kwa Waziri Mwigulu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
 Nchi.
 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto), aliyekuwa 
Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga wakifurahi jambo mara baada ya 
Waziri Mwigulu kupokea taarifa ya makabidhiano katika tukio 
lililofanyika ofisini kwa Waziri huyo, jijini Dar es salaam leo. Picha 
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (wa pili kushoto) 
akipokea taarifa ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara 
hiyo, Charles Kitwanga kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
 jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja 
Jenerali Projest Rwegasira. 
Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni