IGP SIRRO AKUTANA NA DKT. ELIEZER FELESHI JAJI KIONGOZI MAHAKAMA KUU TANZANIA


1
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akimsikiliza Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati.
2
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (katikati), wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kushoto ni Kamishna wa Polisi Jamii CP Mussa A. Mussa.
3
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akimsikiliza kamishna wa Polisi Zanzibar CP Mohammed Hassan Haji (wa kwanza kutoka kulia), wakati wa kikao kazi cha kujadili masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kikao hicho kilihudhuriwa na Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo.
4
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akimsikiliza Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (kushoto), wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kulia ni Mkurugenzi wa Upelelzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz.
Picha na Jeshi la Polisi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni