Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
 Simon Sirro, akimsikiliza Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, 
wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar 
es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo
 kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki 
inapatikana kwa wakati.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
 Simon Sirro, akizungumza na Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi 
(katikati), wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo 
Jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya 
kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa kesi ili 
kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kushoto ni Kamishna wa Polisi 
Jamii CP Mussa A. Mussa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
 Simon Sirro, akimsikiliza kamishna wa Polisi Zanzibar CP Mohammed 
Hassan Haji (wa kwanza kutoka kulia), wakati wa kikao kazi cha kujadili 
masuala mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha 
upepelezi wa kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kikao 
hicho kilihudhuriwa na Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, 
alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es 
salaam leo. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
 Simon Sirro (katikati), akimsikiliza Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer Mbuki 
Feleshi (kushoto), wakati alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya 
Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujadili masuala 
mbalimbali ya kikazi ikiwemo kuweka mikakati ya kuwahisha upepelezi wa 
kesi ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, kulia ni Mkurugenzi wa
 Upelelzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz. 
Picha na Jeshi la Polisi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni