RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI,MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI


1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika mkutano wa utekelezaji wa mpango wa Kazi kwa mwaka wa Fedha wa 2017-2018,uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
DSC_7411
Naibu Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Mohamed Ahmada (kulia) akiwa na Wakurugenzi  katika mkutano wa utekelezaji wa mpango wa Kazi kwa mwaka wa Fedha wa 2017-2018,uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
DSC_7451
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Nd,Mustafa Aboud Jumbe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango Kazi kwa mwaka 2017-2018 katika Mkutano wa Uongozi wa Wizara hiyo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo
DSC_7431
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika mkutano wa utekelezaji wa mpango wa Kazi kwa mwaka wa Fedha wa 2017-2018,uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
DSC_7434
Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Sira Ubwa Mamboya (kushoto) akisoma muhtasari wa  utekelezaji wa mpango wa Kazi kwa mwaka wa Fedha wa 2017-2018 wa Wizara yake katika mkutano wa Uongozi uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mee (kulia),
DSC_7444
Wakurugenzi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo katika mkutano wa utekelezaji wa mpango wa Kazi kwa mwaka wa Fedha wa 2017-2018,uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,
Picha na Ikulu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni