| Mkuu
 wa Tawi la Usalama na Utambuzi Jeshini Brigedia Jenerali, Nicodemus 
Elias Mwangela pamoja na Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa 
kwenye masuala ya Ulinzi katika Wizara ya Ulinzi ya Israel, Brigedia  
Jenerali Mstaafu, Michael Ben-Baruch wakiwekeana saini katika Mkataba wa
 Makubaliano ya pamoja ya Ulinzi kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la 
Kujenga Taifa la Tanzania na Wizara ya Ulinzi ya Taifa la Israel, tukio 
hilo limehudhuriwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la 
Tanzania, Mhe. Hussein Mwinyi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi Dkt. 
Florens Turuka, Balozi wa Israel nchini Kenya awakilisha pia Tanzania, 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Bw. Suleiman Salehe 
pamoja na viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa la Tanzania.Tukio hilo 
limefanyika katika ukumbi wa Mikutano uliopo Makao Makuu ya Jeshi  | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni