Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na 
Mipango Khamis Mussa(wapili kulia )akizungumza machache na kumkaribisha 
Waziri wa Fedha na mipango katika mkutano na  Waandishi wa Habari 
kuelezea Mapitio ya Uchumi na Utekelezaji wa Bajeti ya 
Serikali(2017/2018)na Muelekeo wa Uchumi na Bajeti kwa Mwaka 
2018/2019.Hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga mjini 
Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari 
waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Fedha na Mipango DKT,Khalid 
Salum mohammed   kuelezea Mapitio ya Uchumi na Utekelezaji wa Bajeti ya 
Serikali(2017/2018)na Muelekeo wa Uchumi na Bajeti kwa Mwaka 2018/2019. 
katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango 
Dkt,Khalid Salum Mohamed akielezea  Mapitio ya Uchumi na Utekelezaji wa 
Bajeti ya Serikali(2017/2018)na Muelekeo wa Uchumi na Bajeti kwa Mwaka 
2018/2019. katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar.
Muandishi wa Habari wa Hits Fm 
Zuhura Husein akiuliza maswali   katika Mkutano wa Waziri wa Fedha na 
Mipango DKT,Khalid Salum mohammed   kuelezea Mapitio ya Uchumi na 
Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali(2017/2018)na Muelekeo wa Uchumi na 
Bajeti kwa Mwaka 2018/2019. katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga mjini 
Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt 
Khalid Salum Mohammed akifafanua baadhi ya maswali yalioulizwa katika 
Mkutano na Waandishi wa Habari  kuelezea Mapitio ya Uchumi na 
Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali(2017/2018)na Muelekeo wa Uchumi na 
Bajeti kwa Mwaka 2018/2019. katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga mjini 
Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni