Shida Peter wa kijiji cha 
Nyanh’onge wilayani Misungwi akianika viazi vitamu vilivyomenywa mganda 
maarufu kwa jina la mchembe  ikiwa ni njia ya asili ya kuvihifadhi kwa 
matumizi ya baadae, Juni 11, 2018. Hatua hiyo inatokana na mavuno 
makubwa ya zao hilo  waliyoyapata wakulima wilayani humo. (
 Bibi Sarah Pauline wa kijiji cha 
Mondo  wilayani Misungwi akianika viazi vitamu vilivyomenywa mganda, 
maarufu kwa jina la mchembe  ikiwa ni njia ya asili ya kuvihifadhi kwa 
matumizi ya baadae, Juni 11, 2018. Hatua hiyo inatokana na mavuno 
makubwa ya zao hilo  waliyoyapata wakulima wilayani humo. 
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni