Makamu wa Rais wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya 
pamoja na Majaji Wakuu kutoka nchi za Afrika waliohudhuria Mkutano wa 
Kimataifa unaohusu Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa na Mahakama ya
 Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na kufanyika kwenye Kituo 
cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Wengine pichani kulia ni Jaji 
Mkuu wa Ghana Sophia  Akuffo,Jaji Mkuu wa Zimbabwe Luke Malaba na Jaji 
Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu wengine kushoto ni Jaji Mkuu wa 
Kenya David Maraga, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma, 
Jaji Mkuu na Jaji Mkuu wa Benin Batoko Ousmane. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Jaji Mkuu 
Mstaafu Augustino Ramadhan mara baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa 
unaohusu Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa na Mahakama ya Tanzania 
kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na kufanyika kwenye Kituo cha 
Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) 
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni