MKUTANO WA KIMATAIFA WA MASUALA YA JINSIA NA MAHAKAMA WAFUNGULIWA LEO MJINI ARUSHA


15
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Majaji Wakuu kutoka nchi za Afrika waliohudhuria Mkutano wa Kimataifa unaohusu Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa na Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Wengine pichani kulia ni Jaji Mkuu wa Ghana Sophia  Akuffo,Jaji Mkuu wa Zimbabwe Luke Malaba na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu wengine kushoto ni Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma, Jaji Mkuu na Jaji Mkuu wa Benin Batoko Ousmane.
23
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhan mara baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa unaohusu Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa na Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC)
5 9 12
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni