Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akiwasalimu baadhi ya watoto walioletwa kwa matibabu katika hospitali ya
 CCBRT kama wagonjwa wa nje,kulia anayetoa maelezo ni Mkurugenzi Mkuu 
Mtendaji wa CCBRT Bw. Erwin Telemans. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akimjulia hali mtoto Luke Maulid mwenye umri wa miaka 4 kutoka Mtwara 
ambaye anapata matibabu ya mguu katika hospitali ya CCBRT. (Picha na 
ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akimjulia hali Binti wa miaka 11 anayefahamika kwa jina la Maureen 
Mbilinyi mkazi wa Mbezi ambaye anapata matibabu ya kuondoa uvimbe 
jichoni katika hospitali ya CCBRT. (Picha na ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akizungumza na Bibi Helena Mjinja mwenye umri wa miaka 64 kutoka Musoma 
anayepata matibabu ya Fistula katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es 
Salaam. (Picha na ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akizungumza na wanawake ambao wamepata matibabu ya Fistula na kupona na 
kisha kufundishwa kazi za mikono katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es
 Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya 
CCBRT Bw.Erwin Telemans juu ya utengenezaji wa viungo bandia 
vinavyotengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu katika hospitali ya CCBRT 
jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akiangalia watoto Mussa Hussein (kulia) mwenye umri wa miaka 8 mkazi wa 
Kigamboni na Abdul Hamad (kushoto) mwenye umri wa miaka 10 mkazi wa 
Yombo Vituka wakicheza mpira kwa kutumia miguu maalum, Makamu wa Rais 
leo alifanya ziara kwenye hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam. 
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akipata maelezo juu ya utengenezwaji wa macho bandia kutoka kwa Mtaalamu
 wa Macho wa Hospitali ya CCBRT Bi. Rehema S. Semindu. (Picha na Ofisi 
ya Makamu wa Rais)
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akihutubia wananchi na wagonjwa wa hospitali ya CCBRT mara baada ya 
kumaliza kutembelea hospitali hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. (Picha 
na Ofisi ya Makamu wa Rais) 









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni