WANAFUNZI WATEMBELEA BUNGE KWA LENGO LA KUJIFUNZA SHUGHULI ZA BUNGE


PIC1
Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Mount Kibo ya Jijini Dar es salaam wakiongozwa na Walimu wao wakiwa katika Majukwaa ya Wageni Bungeni kufuatilia Shughuli za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania namna linavyoendeshwa.
PIC2
Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Angelico Lipani ya Jijini Arusha wakiongozwa na Walimu wao wakiwa katika Majukwaa ya Wageni Bungeni kufuatilia Shughuli za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania namna linavyoendeshwa.
PIC3
Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Martin Luther ya Jijini Dodoma wakiongozwa na Walimu wao wakiwa katika Majukwaa ya Wageni Bungeni kufuatilia Shughuli za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania namna linavyoendeshwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni