JUMLA YA MILION 17 ZIMEPATIKA WAKATI SPIKA NDUGAI AKIOSHA MAGARI KATIKA KUHAMASISHA UCHANGIAJI WA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA VYOO VYA MFANO KWA AJILI YA WATOTO WA KIKE NA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

PIC 1
Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai akiosha Gari la Mbunge wa viti maalum  Rose Mtweve kuchangia ujenzi wa vyoo ya kisasa kwa wasichana na wenye uhitaji maalum kwenye majimbo yote hapa nchini
PIC 4
Gari la Mbunge wa Ilala Mussa Azani Zungu ambaye pia ni mwenyekiti wa bunge likioshwa na spika ndugai kwa gharama ya tsh.1 milion
PIC 6
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiosha gari la mbunge wa kuteuliwa na Rais mh. Salma Kikwete wakati wa shughui ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia fedha za kujengea Vyoo vya mfano kwa ajili ya watoto wa Kike na wenye mahitaji maalum. Shughuli hiyo imefanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
PICHA NA zote  mahmouf ahmad

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni