NEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
posted on
Mwenyekiti
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Damian Lubuva
akizungumza na wamiliki wa vyombo vya habari (hawapo pichani) jinsi ya
tume hiyo inavyofanya kazi kuelekea uchagauzi Mkuu katika mkutano
ulifanyika leo katika Ukumbi wa Serena jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Makampuni ya IPP, Dk.Reginald Mengi akichangia mada katika mkutano
wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es
Salaam.
Wamiliki
wa Vyombo na waandishi habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa
ya Uchaguzi (NEC),Jaji Mstaafu ,Damiani Lubuva ( hayupo pichani )katika
mkutano uliotishwa na tume hiyo kuelekea uchagauzi Mkuu uliofanyaika
leo jijini Dar es Salaam, ( Picha na Emmanuel Massaka )
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni