Mkurugenzi
 wa DOT Tanzania, Dawson Luogard akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa
 maadhimisho ya siku ya vijana leo katika ukumbi FES Oyster Bay jijini 
Dar es Salaam.
Mtandao
 wa Vijana wa Activista Tanzania wakishirikiana na Tanzania Youth Vision
 Association(TYVA) wameadhimisha siku ya Vijana Duniani kwa 
kuwakutanisha vijana zaidi ya 120 kutoka maeneo mbalimbali na kujadili 
mada mbalimbali kuhusu Kodi, Kilimo na Maendeleo Endelevu ya malengo ya 
millenia.(Picha na Geofrey Adroph)
Mkurugenzi
 wa Jielimishe Kwanza, Henry Kazure akitoa mafunzo kwa vijana waliofika 
katika maadhimisho ya siku ya vijana katika ukumbi wa FES yaliyoandaliwa
 na Activista Tanzania wakishirikiana na TYVA.
Katibu
 wa Actvista Tanzania, Maria Kayombo ambaye alikuwa mshereheshaji 
akizungumza jambo wakati wa maadhimisho ya Siku ya vijana yaliyofanyika 
katika ukumbi wa FES Oyster Bay jijini Dar es Salaam
Baadhi ya vijana wakifuatilia mada
Mratibu
 wa Kwanza wa Activista Tanzania, Elly Ahimidiwe akizungumza na vijana 
waliofika katika maadhimisho ya siku ya vijana yaliyoandaliwa na Mtandao
 wa vijana wa Activista Tanzania wakishirikiana na TYVA.
Baadhi
 ya Vijana waliofika katika maadhimisho ya siku ya Vijana wakisikiliza 
mada zinazoendelea katika ukumbi wa FES Oster Bay jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Activista Tanzania, Hatibu Kilenga akifunga mafunzo kwa vijana yaliyoandaliwa na Mtandao
 wa Vijana wa Activista Tanzania wakishirikiana na Tanzania Youth Vision
 Association(TYVA) katika maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani.
Picha ya Pamoja
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni