Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati) akizungumza na 
Balozi wa Israeli nchini, Yahel Vilan (kulia) masuala mbalimbali ya 
ushirikiano kati ya Israel na Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika 
katika ofisi ya Waziri Mwigulu, jijini Dar es Salaam leo.  Kushoto ni 
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira. Picha zote 
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimsikiliza 
Balozi wa Israeli nchini, Yahel Vilan alipokuwa akizungumza masuala 
mbalimbali ya ushirikiano kati ya nchi yake na Tanzania. Mazungumzo hayo
 yalifanyika katika ofisi ya Waziri Mwigulu, jijini Dar es Salaam leo.  
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati) akimkaribisha 
Balozi wa Israeli nchini, Yahel Vilan (kushoto), ofisini kwake jijini 
Dar es Salaam kwa ajili ya kujadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano
 kati Israel na Tanzania. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja 
Jenerali Projest Rwegasira. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya 
Nchi. 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni