Wasanii
 wa kijiji cha Katumba wilayani Mpanda wakicheza ngoma ya Kasimbo  
wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadhara 
kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary  (kulia kwake) wakiwapungia  
wananchi wa Mpanda wakati  walipowasili kwenye uwanja wa Kashaulili 
mjini Mpanda kuhutubia mkutano wa hadhara Agosti21, 2016. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Wananchi
 wakionyesha mabango wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipowasili 
kwenye uwanja wa Kashaulili  mjini Mpanda kuhutubia mkutano wa hadhara  
Agosti 21, 2016.  Katika hotuba yake Waziri Mkuu alizitolea majibu kero 
zote zilizoandikwa  kwenye  mabango hayo akiwahusisha watendaji wa 
Halmashauri, mkoa na wilaya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Mke
 wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akiwasalimia wananchi wa Mpanda 
wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadahara 
kwenye uwanja wa Kashaulili mjini Mpanda Agosti 21, 2016. Kulia ni Mkuu 
wa mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Raphael Mbuga. (Picha na Ofisi
 ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na  wananchi wa Mpanda kwenye uwanja wa 
Kashaulili mjini Mpanda alipohutubia mkutano wa hadhara Agosti21, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni