CHINA KUZINDUA DARAJA LA KIOO LA JUU ZAIDI NA REFU KULIKO YOTE DUNIANI


China kuzindua daraja lililojuu zaidi na lenye urefu mkubwa duniani lililojengwa na kioo katika sehemu ya kupitia.

Daraja hilo ambalo ni kivutio cha utalii linaunganisha vilele viwili vya milima ambavyo vinajulikana kama milima ya Avatar katika mkoa wa Zhangjiajie.
             Gari likipita juu ya daraja hilo ikiwa ni sehemu ya majaribio kabla ya uzinduzi
        Majaribio pia yalihusisha kupiga kioo cha daraja hilo kwa kutumia nyundo nzito

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni