Mkuu wa 
Wilaya ya Chake Chake Pemba, akitembelea eneo la Idara ya Kilimo ambalo 
Wananchi wanaiomba Idara kuwawekea njia ya kupita kabla ya kumaliza 
zoezi la uwekaji wa Uzio ili kudhibiti eneo la Idara hiyo.
Mkuu wa 
Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib , akionesha eneo 
linalolalamikiwa na Wananchi wa kijiji cha Wara karibu na Idara ya 
Kilimo Wawi-Pemba.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni