Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dk. 
Aziz Ponary Mlima akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi wakati 
akifungua warsha ya kimataifa kuhusu mpango wa takwimu za malengo ya 
maendeleo endelevu uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa 
Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Alibina Chuwa (kushoto), akihutubia katika warsha hiyo.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban 
(katikati), akipitia nyaraka kwenye warsha hiyo. Mratibu Mkazi wa 
Mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la 
Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez. 
                                                                                                    Warsha ikiendelea.
                                             Wadau wa maendeleo wakiwa kwenye mkutano huo.
                                                        Wadau wakifuatilia mada kwenye warsha hiyo.
                                                                Wanahabari wakiwa kwenye warsha hiyo.
                                                                                                      Warsha ikiendelea.
Taswira
 ya meza kuu kwenye warsha hiyo. Kutoka kulia Dk. Verena Knippel, 
Mratibu wa Shirika la Global Partinership, Sanjeev Khagram, Mkurugenzi 
Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Alubina Chuwa, Katibu Mkuu 
wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dk. Aziz 
Ponary Mlima, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina 
Shaban, na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi 
wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro 
Rodriguez.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni