Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akipiga ngoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndehe wa
 kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es es salaam leo agosti 12, 2016
 Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akiongea na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika 
uwanja wa ndehe wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es es salaam 
leo agosti 12, 2016
 Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akiwasili Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM  jijini Dar es es 
salaam leo agosti 12, 2016. Anaongozana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg 
Abdulrahman Kinana na Naibu Katibu Mkuu Ndg Rajabu Luhwavi.
 Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akiweka saini kitabu cha wageni katika Ofisi Ndogo za Makao 
Makuu ya CCM  jijini Dar es es salaam leo agosti 12, 2016
  Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akihutubia wana-CCM wa Dar es salaam baada ya kupokelewa kwa 
nderemo na vifijo Ofisi Ndogo za CCM mtaa wa Lumbumba jijini Dar es es 
salaam leo agosti 12, 2016.
 Mwenyekiti
 wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
 Magufuli akilakiwa katika uwanja wa ndehe wa kimataifa wa Julius 
Nyerere jijini Dar es es salaam leo agosti 12, 2016




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni