Naibu
 Waziri  wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(wa 
pili kulia), akishirikiana na viongozi wengine akiwemo Mbunge wa Jimbo 
la Segerea,Mheshimiwa  Bonnah Kaluwa(wa kwanza kushoto), kuzindua   
ujenzi wa kituo cha polisi kinachojengwa katika Jimbo la Segerea ikiwa 
ni mkakati wa kupambana na uhalifu katika jimbo hilo.
Naibu
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, 
akishiriki ujenzi wa awali wa kituo cha polisi kinachojengwa katika 
Jimbo la Segerea ikiwa ni mkakati wa Mbunge wa jimbo hilo  kupambana na 
vitendo ya uhalifu katika jimbo hilo.
Naibu
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, 
akizungumza wakati wa Harambee ya Ujenzi wa Kituo cha Polisi .Wa kwanza 
kulia ni Mbunge wa Jimbo la Segerea,Mheshimiwa  Bonnah Kaluwa. Ujenzi wa
 kituo hicho ni mkakati wa kupambana na matukio ya uhalifu yanayotokea 
katika jimbo hilo.
Naibu
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(suti
 nyeusi), akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya 
Ujenzi wa Kituo cha Polisi .Naibu Waziri huyo pia aliongoza Harambee ya 
Ujenzi wa kituo hicho ikiwa ni mkakati wa  Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah 
Kaluwa, kupambana  na matukio ya uhalifu.Naibu Waziri huyo aliongoza
Naibu
 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, 
akizungumza wakati wa Harambee ya Ujenzi wa Kituo cha Polisi .Wa kwanza 
kulia ni Mbunge wa Jimbo la Segerea,Mheshimiwa  Bonnah Kaluwa. Ujenzi wa
 kituo hicho ni mkakati wa kupambana na matukio ya uhalifu yanayotokea 
katika jimbo hilo.
Mbunge
 wa Jimbo la Segerea la Segerea, Bonnah Kaluwa, akimuongoza Naibu Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(suti nyeusi) na 
viongozi wengine kwenda kutembelea eneo ambapo ujenzi  wa kituo cha 
polisi katika jimbo hilo umeanza ikiwa ni mkakati wa kupambana na 
matukio ya uhalifu jimboni hapo.
Wananchi
 wa Jimbo la Segerea, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya 
Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani), wakati wa 
Harambee ya  Ujenzi wa Kituo cha Polisi ikiwa ni mkakati wa Mbunge wa 
Jimbo hilo, Bonnah Kaluwa, kupambana na matukio ya uhalifu katika jimbo 
hilo.(Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi) 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni